AJTC TV

Pages

  • Home
  • About us
  • Vision
  • Our tv
  • Tv program
  • Contact us
  • Classes and time table

Monday, 1 September 2014

MAWAZIRI WAPYA SIRYA WAAPISHWA...

Rais Bashar Assad wa Syria jana aliliapisha baraza lake la mawaziri huku akisisitiza kuwa, usalama na ujenzi mpya wa nchi hiyo ni vipaumbele vya serikali ya nchi hiyo. Sherehe za kuapishwa baraza jipya la mawaziri walioteuliwa mapema wiki hii, zilifanyika jana huko Damascus mji mkuu wa nchi hiyo. Wael al Halqi Waziri Mkuu wa Syria anaongoza baraza hilo jipya la mawaziri linalowajumuisha mawaziri wapya 11. Katika sherehe hizo za kula kiapo, Rais Assad wa Syria amesema kuwa mafanikio ya serikali mpya ya nchi hiyo yatategemea kuwa wazi serikali na kuaminiwa na wananchi. Bashar al Assad alichaguliwa kwa mara nyingine tena kuwa Rais wa Syria kwa muhula wa tatu katika uchaguzi uliofanyika mwezi Juni mwaka huu ambapo aliibuka na ushindi wa asilimia 88.7 ya kura. Syria imekumbwa na machafuko makubwa tangu mwaka 2011, huku nchi za Magharibi na waitifaki wao katika eneo khususan Qatar, Saudi Arabia na Uturuki zikiwaunga mkono wanamgambo wanaozusha machafuko na kufanya mauaji huko Syria
Habari na Rosemary MmbandoChanzo:BBC


Posted by Unknown at 00:42
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • BIASHARA YA NYAMA YA MBUZI YASHAMIRI JIJINI ARUSHA
    kutoka kushoto ni muuzaji wa nyama yambuzi Bw.Rafael Isaya aakizungumza na mteja maeneo ya kwa Morombo Arusha Baadhi ya wafanyab...
  • WANAFUNZI WA A.J.T.C WATAKIWA KULIPA ADA KWA WAKATI
    Makamu mkuu wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha bwana Elifuraha samboto amezungumza mwandishi wetu Hadija Hassan ( Picha ...
  • WATU 114 WAULIWA NA BOKO HARAMU NCHINI NIGERIA
      HABARI NA     JESCA MHOKA Zaidi ya watu 100 wakiwemo wanajeshi kadhaa wa serikali, wameuawa katika mapigano yaliyozuka kati ya jeshi...
  • BURUDANI KATIKA MUZIKI KITAIFA :: WASANII WAAASWA KUWA NA UMOJA NA USHIRIKIANO ILI KUFIKA NGAZI ZA KIMATAIFA .
    Wasanii wa muziki nchini Tanzania waswa kuwa na ushirikiano ili kuweza kuupeleka na kuutangaza muziki wa hapa nyumbani duniani kote . Ms...
  • AJTC STARS YAJIPANGA KUENDELEZA UBINGWA.
    (mwalimu wa michezo AJTC ndg Lucas Modaha) HABARI NA      JESCA MHOKA, ARUSHA Timu ya chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Ar...
  • TANZANIA YATWAA TUZO
      Dar es Salaam. Tanzania inaongoza kwa kuwa na mitaji mikubwa ya uwekezaji kutoka nje katika nchi za Afrika Mashariki, ripoti mpya imeb...

About Me

Unknown
View my complete profile

Blog Archive

  • ▼  2014 (56)
    • ►  October (2)
    • ▼  September (15)
      • UCHAFU KATIKA SOKO LA MBAUDA WAWAKERA WAFANYABIASH...
      • ARUSHA;SALUNI NI KAZI KAMA KAZI NYINGINE..........
      • BIASHARA YA NYAMA YA MBUZI YASHAMIRI JIJINI ARUSHA
      • AJTC STARS NA AJTC QUEENS WAJIPANGA KUSHINDA BONAN...
      • UJASIRIAMALI NDIYO MKOMBOZI WA MWANAMKE NCHINI
      • ARUSHA............ A.J.T.C:YABORESHA MIUNDOMBINU
      • UJASIRIAMALI NDIYO MKOMBOZI WA MWANAMKE NCHINI
      • Alshabaab lathibitisha kifo cha Godane
      • SIMBA SC KUINGIA KAMBINI MBEZI BEACH KESHO
      • CARL FRAMPTON AMTWANGA KIKO MARTINEZ NA KUBEBA TAJ...
      • BAADA YA EBOLA KUWA TISHIO UMOJA WA AFRIKA WAKUTAN...
      • Wazazi wa Sotloff watoa kauli yao!!!!
      • Marekani yaombwa isaidie Ukraine
      • Serikali ya Libya yakosoa matamshi ya Rais wa Utur...
      • MAWAZIRI WAPYA SIRYA WAAPISHWA...
    • ►  August (26)
    • ►  July (9)
    • ►  June (2)
    • ►  May (2)
Picture Window theme. Theme images by Maliketh. Powered by Blogger.