AJTC TV

Pages

  • Home
  • About us
  • Vision
  • Our tv
  • Tv program
  • Contact us
  • Classes and time table

Monday, 1 September 2014

MAWAZIRI WAPYA SIRYA WAAPISHWA...

Rais Bashar Assad wa Syria jana aliliapisha baraza lake la mawaziri huku akisisitiza kuwa, usalama na ujenzi mpya wa nchi hiyo ni vipaumbele vya serikali ya nchi hiyo. Sherehe za kuapishwa baraza jipya la mawaziri walioteuliwa mapema wiki hii, zilifanyika jana huko Damascus mji mkuu wa nchi hiyo. Wael al Halqi Waziri Mkuu wa Syria anaongoza baraza hilo jipya la mawaziri linalowajumuisha mawaziri wapya 11. Katika sherehe hizo za kula kiapo, Rais Assad wa Syria amesema kuwa mafanikio ya serikali mpya ya nchi hiyo yatategemea kuwa wazi serikali na kuaminiwa na wananchi. Bashar al Assad alichaguliwa kwa mara nyingine tena kuwa Rais wa Syria kwa muhula wa tatu katika uchaguzi uliofanyika mwezi Juni mwaka huu ambapo aliibuka na ushindi wa asilimia 88.7 ya kura. Syria imekumbwa na machafuko makubwa tangu mwaka 2011, huku nchi za Magharibi na waitifaki wao katika eneo khususan Qatar, Saudi Arabia na Uturuki zikiwaunga mkono wanamgambo wanaozusha machafuko na kufanya mauaji huko Syria
Habari na Rosemary MmbandoChanzo:BBC


Posted by Unknown at 00:42
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • WAJUMBE TADEA WAACHWA KWENYE MATAA DAR
    Na Linah Mvungi Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama cha Tadea kutoka mikoa mbalimbali wameushutumu uongozi wa chama hicho kwa kuwatelekeza ...
  • MICHEZO Video: Mwandishi wa habari Alambwa Kibao Na Diego Maradona
    Mchezaji wa zamani wa Argentina aliyeacha historia kubwa katika ulimwengu wa soka, Diego Maradona amempiga kibao mwandishi wa habari mbele ...
  • FM ACADEMIA WAJA TENA
     wasanii wa bendi ya fm Academia wakiwa jukwaani wanaimba wapili kulia ni Rais wa bendi Nyoshi Rapa wa bendi  ya Fm Academia...
  • (no title)
    Semina ya ujasiliamali ndani ya chuo cha uandishi wa habari Arusha ya toa fursa. Na.ELIZABETH SAID ADYSWELE Mkurugenzi wa mafun...
  • Ajtc tv television Daima mafanikio
    Arusha journalism training college chuo cha uandishi wa habari na utangazaji ambacho pia kinamiliki TV inayo itwa ajtc tv,tv inayotumiwa n...
  • MBOWE APIGWA STOP UENYEKITI CHADEMA
    Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Mutungi.   Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imesema haitambui kuondolewa kw...
  • MABASI MAWILI YAGONGANA USO KWA USO NA KUSABABISHA VIFO 17 NA MAJERUHI 50
    Ajali hiyo imetokea leo  majira ya saa 11 jioni baada ya Basi la Kampuni ya Sabena lenye namba za usajiri T 110 ARV lililokuwa liki...
  • TAIFA STARS WALALA UGENINI
    (picha Mrisho Ngassa akionesha vitu vyake)  Na Mercy Rodricky WENYEJI Botswana Leo hii huko Uwanja wa Taifa Jijini Gaborone wameichap...
  • KIMATAIFA II WAKE WA WANAJESHI WAANDAMANA
    HABARI NA LINAH MVUNGI Wake wa wanajeshi wa Nigeria wameandamana Kaskazini Mashariki mwa Nigeria wakipinga hatua ya jeshi kuwatuma waume ...
  • HAZINA ALIYOACHA RAGE KWA TIMU YA SIMBA
    Na  JESCA MHOKA, ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Simba, Ismail Rage, ameshusha pumzi na anakwenda kupumzika huku akidai kuiacha Simba ...

About Me

Unknown
View my complete profile

Blog Archive

  • ▼  2014 (56)
    • ►  October (2)
    • ▼  September (15)
      • UCHAFU KATIKA SOKO LA MBAUDA WAWAKERA WAFANYABIASH...
      • ARUSHA;SALUNI NI KAZI KAMA KAZI NYINGINE..........
      • BIASHARA YA NYAMA YA MBUZI YASHAMIRI JIJINI ARUSHA
      • AJTC STARS NA AJTC QUEENS WAJIPANGA KUSHINDA BONAN...
      • UJASIRIAMALI NDIYO MKOMBOZI WA MWANAMKE NCHINI
      • ARUSHA............ A.J.T.C:YABORESHA MIUNDOMBINU
      • UJASIRIAMALI NDIYO MKOMBOZI WA MWANAMKE NCHINI
      • Alshabaab lathibitisha kifo cha Godane
      • SIMBA SC KUINGIA KAMBINI MBEZI BEACH KESHO
      • CARL FRAMPTON AMTWANGA KIKO MARTINEZ NA KUBEBA TAJ...
      • BAADA YA EBOLA KUWA TISHIO UMOJA WA AFRIKA WAKUTAN...
      • Wazazi wa Sotloff watoa kauli yao!!!!
      • Marekani yaombwa isaidie Ukraine
      • Serikali ya Libya yakosoa matamshi ya Rais wa Utur...
      • MAWAZIRI WAPYA SIRYA WAAPISHWA...
    • ►  August (26)
    • ►  July (9)
    • ►  June (2)
    • ►  May (2)
Picture Window theme. Theme images by Maliketh. Powered by Blogger.