AJTC TV

Pages

  • Home
  • About us
  • Vision
  • Our tv
  • Tv program
  • Contact us
  • Classes and time table

Monday, 1 September 2014

MAWAZIRI WAPYA SIRYA WAAPISHWA...

Rais Bashar Assad wa Syria jana aliliapisha baraza lake la mawaziri huku akisisitiza kuwa, usalama na ujenzi mpya wa nchi hiyo ni vipaumbele vya serikali ya nchi hiyo. Sherehe za kuapishwa baraza jipya la mawaziri walioteuliwa mapema wiki hii, zilifanyika jana huko Damascus mji mkuu wa nchi hiyo. Wael al Halqi Waziri Mkuu wa Syria anaongoza baraza hilo jipya la mawaziri linalowajumuisha mawaziri wapya 11. Katika sherehe hizo za kula kiapo, Rais Assad wa Syria amesema kuwa mafanikio ya serikali mpya ya nchi hiyo yatategemea kuwa wazi serikali na kuaminiwa na wananchi. Bashar al Assad alichaguliwa kwa mara nyingine tena kuwa Rais wa Syria kwa muhula wa tatu katika uchaguzi uliofanyika mwezi Juni mwaka huu ambapo aliibuka na ushindi wa asilimia 88.7 ya kura. Syria imekumbwa na machafuko makubwa tangu mwaka 2011, huku nchi za Magharibi na waitifaki wao katika eneo khususan Qatar, Saudi Arabia na Uturuki zikiwaunga mkono wanamgambo wanaozusha machafuko na kufanya mauaji huko Syria
Habari na Rosemary MmbandoChanzo:BBC


Posted by Unknown at 00:42
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • DIEGO COSTA AANZA MAMBO CHELSEA...APIGA ZOTE MBILI THE BLUES IKIICHAPA REAL 2-0
    Diego Costa akisherehekea baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza Uwanja wa Stamford Bridge Na Olimpia Mallya MABAO ya mawili ya...
  • BIASHARA YA NYAMA YA MBUZI YASHAMIRI JIJINI ARUSHA
    kutoka kushoto ni muuzaji wa nyama yambuzi Bw.Rafael Isaya aakizungumza na mteja maeneo ya kwa Morombo Arusha Baadhi ya wafanyab...
  • WATU 114 WAULIWA NA BOKO HARAMU NCHINI NIGERIA
      HABARI NA     JESCA MHOKA Zaidi ya watu 100 wakiwemo wanajeshi kadhaa wa serikali, wameuawa katika mapigano yaliyozuka kati ya jeshi...
  • UNAJUA KAMA KILA BINGWA ANA BINGWA WAKE? SOMA HII
    MABINGWA MARA MBILI MFULULIZO WA KOMBE LA       TASWA WAPIGWA MVUA YA MABAO  habari na NASSOR S AMOUR  Mabingwa wa kombe la tasw...
  • UCHAFU KATIKA SOKO LA MBAUDA WAWAKERA WAFANYABIASHARA KATIKA SOKO HILO.
      Hali isivyo ya kuridhisha katika soko la mbauda lililoko mkoani Arusha katika kata ya sombetini kutokana na kutapakaa kwa uchafu.   pi...
  • UJASIRIAMALI NDIYO MKOMBOZI WA MWANAMKE NCHINI
      Wanawake nchini wametakiwa kujishughulisha kwa kufanyakazi za ujasiriamali na kuacha kuwategemea wanaume zao katika kuendesha maisha. ...
  • BAADA YA EBOLA KUWA TISHIO UMOJA WA AFRIKA WAKUTANA KUJADILI...
    Umoja wa Afrika (AU) umeitisha kikao cha dharura kwa ajili ya kukabiliana na kasi ya kuenea virusi vya homa ya Ebola barani humo. AU imeta...
  • ARUSHA;SALUNI NI KAZI KAMA KAZI NYINGINE..........
    Mmiliki wa saluni mama Sundy akimuhudumia mteja wake. picha na MARIAM HIZZA.     Kutuka kushoto ni mwandishi wa gazeti la ajtc akimuh...
  • ENTERTAIMENT : MSANII 50 CENT AFUNGUKA KUHUSU DIAMOND
                                     
  • WAJUMBE TADEA WAACHWA KWENYE MATAA DAR
    Na Linah Mvungi Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama cha Tadea kutoka mikoa mbalimbali wameushutumu uongozi wa chama hicho kwa kuwatelekeza ...

About Me

Unknown
View my complete profile

Blog Archive

  • ▼  2014 (56)
    • ►  October (2)
    • ▼  September (15)
      • UCHAFU KATIKA SOKO LA MBAUDA WAWAKERA WAFANYABIASH...
      • ARUSHA;SALUNI NI KAZI KAMA KAZI NYINGINE..........
      • BIASHARA YA NYAMA YA MBUZI YASHAMIRI JIJINI ARUSHA
      • AJTC STARS NA AJTC QUEENS WAJIPANGA KUSHINDA BONAN...
      • UJASIRIAMALI NDIYO MKOMBOZI WA MWANAMKE NCHINI
      • ARUSHA............ A.J.T.C:YABORESHA MIUNDOMBINU
      • UJASIRIAMALI NDIYO MKOMBOZI WA MWANAMKE NCHINI
      • Alshabaab lathibitisha kifo cha Godane
      • SIMBA SC KUINGIA KAMBINI MBEZI BEACH KESHO
      • CARL FRAMPTON AMTWANGA KIKO MARTINEZ NA KUBEBA TAJ...
      • BAADA YA EBOLA KUWA TISHIO UMOJA WA AFRIKA WAKUTAN...
      • Wazazi wa Sotloff watoa kauli yao!!!!
      • Marekani yaombwa isaidie Ukraine
      • Serikali ya Libya yakosoa matamshi ya Rais wa Utur...
      • MAWAZIRI WAPYA SIRYA WAAPISHWA...
    • ►  August (26)
    • ►  July (9)
    • ►  June (2)
    • ►  May (2)
Picture Window theme. Theme images by Maliketh. Powered by Blogger.