MICHEZO Video: Mwandishi wa habari Alambwa Kibao Na Diego Maradona
Mchezaji wa zamani wa Argentina aliyeacha historia kubwa
katika ulimwengu wa soka, Diego Maradona amempiga kibao mwandishi wa habari
mbele ya umati huku kamera zikichukua tukio zima.
Imeelezwa kuwa Maradona alichukizwa na
kitendo cha mwandishi huyo kumtolea maneno machafu mkewe wa zamani. TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
HABARI KUTOKA WWW.JIMMCARTER.COMHABARI NA MERCY RODRICKY
No comments:
Post a Comment